Hayawi hayawi, Shamsa Ford aolewa
Malkia wa filamu, Shamsa Ford amefunga ndoa Ijumaa hii na mfanyabiashara wa maduka ya nguo Rashidi Saidi aka Chidi Mapenzi.
Shamsa akiwa na mume wake, Rashidi Said aka Chidi Mapenzi
Shughuli hiyo imefanyika Sinza Africasana nyumbani kwa wazazi wa Shamsa Ford na kuhudhuriwa na ndugu jamaa pamoja na wasanii filamu. Angalia picha za ndoa.
Shamsa na mume wake wakisaini cheti cha ndoa
Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa
Baadhi ya watu waliojitokeza
Bi Shamsa akionyesha jinsi alivyorembwa na kurembeka
Shamsa akiwa na mume wake, Rashidi Said aka Chidi Mapenzi
Shughuli hiyo imefanyika Sinza Africasana nyumbani kwa wazazi wa Shamsa Ford na kuhudhuriwa na ndugu jamaa pamoja na wasanii filamu. Angalia picha za ndoa.
Shamsa na mume wake wakisaini cheti cha ndoa
Shamsa akizungumza baada ya kufunga ndoa
Baadhi ya watu waliojitokeza
Bi Shamsa akionyesha jinsi alivyorembwa na kurembeka
Post a Comment