Aunt Ezekiel na Ray wamehamia CCM ?, Steve Nyerere kayazungumza hapa
.
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza
kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa
Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi aka Ray kuondoka UKAWA na
kuhamia chama cha Mapinduzi.
Baada ya taarifa hizo kuchukua nafasi
kubwa kwenye mitandao sasa ripota wa millardayo.com amezungumza na
Steve Nyerere ambaye ni mwenyekiti wa kampeni ya Mama ongea na Mwanao…’Ndugu
zetu wakina Vicent Kigosi na Aunt Ezekiel walitoroka wamerudi CCM
kabla hawajatangaza lakini watatangaza wamerudi kwa kishindo kikubwa
wanaamini bila hapo walipofika bila nguvu ya Mh Jakaya Mrisho Kikwete
wasingiweza kufika‘ – Steve Nyerere
.
Post a Comment