Image result for tigo banner

Wiz Khalifa alifundishwa na mama yake kuvuta Bangi

Wiz Khalifa ni Rapper ambaye ni mzazi mwenzake na Mwanamitindo Amber Rose, wote ni mastaa wenye majina makubwa Duniani… Kuna Majimbo Marekani wameruhusu Bangi kuwa kilevi halali kabisa lakini kwingine ni MARUFUKU !!
Wiz KHALIFA
Wiz Khalifa huwa anaonekana anavuta kuanzia kwenye Video zake, pichaz… hii kitu kwa jamaa ni kama tu sehemu ya maisha yake ya kawaida kabisa >>> ‘Alikuwa akisikia harufu kutoka chumbani kwangu ambapo mimi na marafiki zangu tulikuwa tunavuta… alihisi ni kitu kizuri kwa vile kila wakati alisikia vicheko pamoja na harufu kali kutoka chumbani‘– Hii ni moja ya nukuu kwenye alichokisema Katie ‘Peachie’ Wimbush-Polk, mama wa Rapper Wiz Khalifa.
Hii ndio sentensi ya mama yake kuthibitisha kwamba tabia ya kuvuta Bangi alimfundisha yeye >>> ‘Kabla sijaenda kazini, na yeye (Wiz Khalifa) hajaenda Shule ilikuwa ni lazima tuvute pamoja… Alijifunza kuvuta kutoka kwa mama yake‘— Katie Wimbush-Polk.
Wiz-Khalifa-brought-his-mom-Peachie-Wimbush-his-young-son
Hapo ni Wiz Khalifa, mama yake mzazi Peachie-Wimbush na mtoto wa Wiz, Sebastian
Kwenye pesa ambayo Rapper huyo anaingiza, kiasi ambacho anakitumia kila mwezi kwa ajili ya Bangi tu ni Dola 10,000 ambazo ukiziweka kwenye hesabu ya Shilingi ni kama Ths. Milioni 21 hivi !!

No comments

Powered by Blogger.