Image result for tigo banner

Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford

Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford.
2DA4E06A00000578-0-image-a-8_1445466613260
Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 kufunga magoli hayo 5.
2DA4A14A00000578-3283470-image-a-55_1445459758301
Kijana huyo raia wa Ufaransa amekuwa na mwanzo mzuri huku akimudu pressure iliyopo Old Trafford sanjari na dau kubwa sana alilosajiliwa akitokea Monaco ya Ufaransa.

No comments

Powered by Blogger.