Image result for tigo banner

Pichaz 20 za Idris Sultan, MC Pilipili na Chipukeezy walivyovunja mbavu watu kwenye The Funny Fellas

Usiku wa March 4 ilifanyika Stand Up Comedy katika ukumbi wa Uhuru Auditorum makumbusho ya Taifa Posta, show hiyo iliyopewa jina la The Funny Fellas ambayo ilikutanisha wachekeshaji mahiri kutoka nchi za Afrika Mashariki kama Captain Khalid, Dogo Pepe, MC Pilipili, Chipukeezy, Alex Muhangi  na Idriss Sultan.
Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz 20 za watu walivyovunjwa mbavu na wachekeshaji
DSC_8147
Dogo Pepe
DSC_8154
DSC_8164
Dogo Pepe
DSC_8180
DSC_8183
DSC_8187
Mbunifu wa mavazi Mustafa Hassanari alikuwepo pia mwenye shati la kitenge
DSC_8188
Mchekeshaji kutoka Uganda Alex Muhangi kwenye Stage
DSC_8191
DSC_8209
DSC_8214
Alex Muhangi
DSC_8226
Mchekeshaji Captain Khalid mchekeshaji
DSC_8240
Chipukeezy on stage kuvunja mbavu za watu waliohudhuriaza The Funny Fellas
DSC_8243
DSC_8247
Chipukeezy katika mbwembwe zake akaamua kumuita mrembo kwenye stage

No comments

Powered by Blogger.