Picha: Mashindano ya Mr & Miss Mbeya University of Science & Technology Yalivyofana
Chuo kikuu cha sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) hapo jana (28 May) kiliweza
kumpata Miss na Mr ambao watashikilia taji hilo kwa muda wa mwaka mmoja
toka walipokabidhiwa. Hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Nyerere
uliopo chuoni hapo huku ukiudhuriwa na baadhi ya viongozi wa chuo pamoja
na wale wa serikali ya wanafunzi (MUSTSO). Sherehe hiyo ilikua chini ya
udhamini wa Access Computers Ltd, Trust pamoja na Oneclick Tanzania.
Access computer walitoa zawadi ya Lennovo mpya kwa washindi wote wawili
Mr na Miss MUST
Mshiriki nambari moja akipita jukwaani akiwa amevalia vazi la asili
Mr na Miss MUST 2015-2016 walikuwepo pia ili kukabidhi taji kwa washindi wapya
Nancy kutoka meza kuu ya majaji akitoa neno kwa waliohudhuria hafla hiyo
Meza kuu ya uongozi wa chuo kutoka kulia, Rais wa serikali ya wanafunzi Sirilo Joseph akiambatana na wadhamini kutoka Access Computers Ltd
Naibu waziri wa Starehe na Michezo Alex Toure
Washiriki wa Mr na Miss MUST kwenye picha ya pamoja
Muwakilishi kutoka Trust
Washindi wakikabidhiwa taji
Vikundi vya uburidishaji vilikuwepo kunogesha hafla
Hillary Obeid Mshindi Mr MUST 2016-2017
Mwajuma Ismail Mkupete Mshindi Miss MUST 2016-2017
Post a Comment