Rose ndauka afunguka siri ya mambo yake kumyookea
Akizungumza na Amani, Rose ambaye kwa sasa anamiliki kampuni inayojishughulisha na kutengeneza Jarida la Rozzie, alisema kuwa Mungu ndiye aliyemtendea miujiza hiyo kwani asingemshirikisha asingekuwa hapo alipo.
“Siri kubwa ya mafanikio niliyonayo ni kumtegemea Mungu na hakuna namna yoyote kinyume na hapo niliyofanya. Kuna faida kubwa sana katika maisha yangu, nimeona na nimeshuhudia kabisa, wala sitathubutu kumuacha kamwe,” alisema Rose

Post a Comment