Image result for tigo banner

‘Zigo Remix’ ya AY f/ Diamond imeweka rekodi hii leo duniani

Hapa AY, pale Diamond Platnumz unategemea nini kama wameshirikiana kulidondosha Zigo?
12509174_10153372908158379_166997376138407366_n
Na tena pale unapogundua kuwa watayarishaji watatu wakubwa wameshiriki kulidondosha – Nahreel aliyeupika mdundo huu, huku Hermy B na Marco Chali wakiweka mikono yao kukamilisha remix yake.
Ndio maana ndani ya saa 24, wimbo huo umesikilizwa mtandaoni kwa zaidi ya mara elfu 14! Hizo sio namba za lelemama kwa siku moja hadi kuifanya Ijumaa hii Zigo iingie kwenye Top 10 ya nyimbo zilizosikilizwa zaidi kwenye mtandao wa Audiomack.
Ukitaka kujua kuwa hicho sio kitu kidogo, angalia wasanii wengine waliomo kwenye top ten hiyo. Ni Wiz Khalifa, Tyga, Meek Mill, Akon na wengine

No comments

Powered by Blogger.