Image result for tigo banner

Kwanini gari la Wema Sepetu lilikamatwa? Jux bado anawasiliana na Jack? Producer Hermy B ana tamaa zake pia…255(+Audio)

Producer Hermy B 
 kuna wasanii anatamani sana kufanya nao kazi? ”Natamani kufanya kazi na Maua Sama kutokana na ubora wa sauti yake, mimi huwa nagombana sana na wasani  kwakuwa huwa nataka mtu atoe sauti ninayotaka kuisikia, Mwingine ni Ben Pol, Zaidi ni Diamond  Platnumz, alafu kuna kitu watu wengi hawajui kama Diamond  ni rapper.

hermy2_full
Producer Hermy B
Jux bado anawasiliana na mrembo Jackie Cliff?  “Ndio naongea na Jack ana anaendelea poa, ingawa sio kivile sana, Ingawaje sipendi kuliongelea suala hili coz hata ndugu zake hawapendi

JUX
Msanii Jux
Baada ya stori nyingi kuandikwa kuwa gari la Wema Sepetu limekamatwa kisa hajalipia kodi zimeifikia 255 na hapa anafunguka  “ gari ni langu, kilichobakitu ni kulisajili lipate namba za Tanzania, kama unavyojua TRA wanafuatilia sana kama huna namba za njano lazima wakufuatilie na sasa gari lipo nyumbani

WEMA
Wema Sepetu
255 hii hapa kwenye audio na stori zote niliyorekodi kwenye XXL ya leo.

No comments

Powered by Blogger.