Image result for tigo banner

Yaliyomkuta Mganga wa kienyeji baada ya kutaka kumrudisha mtoto aliyepotea…(Hekaheka +Audio)


Kwenye hekaheka Kuna mtoto amepotea Kawe, Dar. Baada yakutafutwa kwa muda mrefu bila mafanikio Mama wa mtoto akaamua kumuita Mganga wa kienyeji ili kupata msaada, moja ya tukio lililowashangaza watu ni kitendo cha mganga huyo kushindwa kumpata mtoto na kudai waliomshikilia wana nguvu zaidi.
Mama wa mtoto anazungumziaje tukio zima?

 “mtoto  wangu alikuwa anatoka madrasa  saa 2 usiku ukiwa na wenzake, baada ya muda aliwaambia wenzake anaenda chooni baada ya hapo hakurudi tena

Tumemtafuta kila mahali hadi Polisi lakini hajapatikana, wataalam (waganga) wanakuja kila siku na leo wamekuja, nimeambiwa mtoto yupo hapahapa mtaani lakini waliomshikilia wana nguvu kubwa hivyo wanamsumbua

Kwenye hii sauti kuna full stori, ni ruksa kuisikiliza

No comments

Powered by Blogger.