Alikiba yupo Johannesburg South Africa… hivi ni vitu unatakiwa kujua (Picha)
Mwimbaji staa wa Bongofleva AliKiba
yuko Johannesburg South Africa kutia wino kwenye dili zake jipya ambazo
zitaishuhudia bongofleva ikikaa kwenye headlines nyingine 2016.
Kuna mambo mapya saba makubwa ambayo yatatangazwa ndani ya saa 48 kuanzia leo May 19 2016 kutokea hapa Johannesburg ikiwa ni hatua kubwa kwake kuwahi kuipiga kwenye muziki.
Johannesburg
Alikiba, meneja wake Seven na Mtangazaji wa XXL ya Clouds FM B12
Alikiba kwenye mahojiano
Alikiba akipewa maelekezo ndani ya duka hilo la muziki.
.
.
.
.
.
Post a Comment