Image result for tigo banner

Vanessa Mdee aelezea changamoto kubwa zaidi waliyonayo wasanii wa kike

13116650_1712020302388358_410167307_n


Baadhi ya waigizaji wa kike wa filamu nchini Marekani waliwahi kulalamika utofauti wa malipo kati yao na wanaume.
Kinachowaumiza zaidi ni kuwa wanaume hulipwa malipo makubwa zaidi kuliko wao hata katika uhusika unaofanana. Kwa mujibu wa Vanessa Mdee, hilo ni tatizo kubwa pia lililopo kwenye muziki wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.
“Kubwa zaidi ni masuala ya bookings msanii wa kike kupewa kile anachostahili, mwanaume atalipwa zaidi siku zote japo msichana ana hit song anaweza kuvuta wale wale atakaovuta akinakaka,” Vanessa aliiambia 255 ya XXL kupitia Clouds FM

No comments

Powered by Blogger.