Image result for tigo banner

Brendan Rogers ayapoza machungu ya Liverpool

Brendan Rodgers
Alie kuwa kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amepata kibarua kipya ni baaba ya Club ya CELTIC kumtangaza kuwa kocha wao mpya. Rodgers alikuwa hana kazi yoyote baada ya kufukuzwa na majogoo wa London.
Celtic tweet 
 Celtic imechukua maamuzi hayo baada alie kuwa kocha wao kuacha kazi. 

No comments

Powered by Blogger.