Tazama naibu spika wa bunge la jamuhuri ya tanzania na wabunge wakiserebuka kwenye show ya Lady Jaydee Dodoma(ndindindi........
Naibu Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. Tulia
Ackson, wikiendi iliyomalizika aliunga wabunge wengine pamoja wapenzi wa
muziki kwenye show ya Lady Jaydee ya Naamka Tena Tour mjini Dodoma.
Show hiyo ilifanyika kwenye ukumbi wa Royal Village huku pia Mkuu wa
Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Alvaro Rodriguez akihudhuria.
Kwenye show hiyo Lady Jaydee alitumbuiza pamoja na bendi yake
Lady Jaydee akiwa kazini
Mbunge wa Afrika Mashariki, Shyrose Bhanji akizungumza na Alvaro Rodriguez
.
Post a Comment