Machester United wa nyakua kombe la kwanza Wakiwa na Mourinho.
Manchester United wameweza kunyakua ubingwa wao wa kwanza msimu huu wakiwa na kocha wao Jose Mourinho. Ukiwa ni ubingwa wao wa 21 wa ngao ya hisani.
Manchester United wameifunga Lester city mabao 2-1 na kuweza kunyakua ubingwa huo.
Magoli ya manchester United yamefungwa na Lingard na Ibrahmovic huku goli la klabu ya Leister City na la kusawazisha likifungwa na Vardy
Post a Comment