NeyMar Awafuta Machozi Brazil Olympic
Brazil timu ya mpira wa miguu imenyakuwa medali ya dhahabu baada ya kutungua Ujerumani kwa penaliti 5-4.
Mchezo huo uliweza kumalizika kwa kungana 1-1 dakika 120. Goli la brazili liifungwa na Neymar na huku la Ujerumani likifungwa na Maximilian Meyer.
Brazil waliweza kufika fainali ila na kukosa Medali hizo mwaka 1984, 1988 na 201.
Post a Comment