Image result for tigo banner

Joh Makini: Mkali wa bongo fleva aliyeandika rekodi mpya mwaka huu



Msanii Joh Makini ambaye kwa sasa anafanya vizuri kwenye tasnia ya muziki wa kizazi kipya huku akiwa na heat song ‘Nusu Nusu’ inayotamba kwenye radio na Tv stations tofauti nje na ndani ya nchi ameingia kwenye rekodi ambayo ameiweka mwaka huu kuwa Msanii aliyefanya collabo na wasanii wote waliokuwemo kwenye kinyang’anyiro cha msanii bora wa Rnb kwenye tuzo za  KTMA(Kili Tanzania Music Awards) zilizotolewa mwaka huu huku Jux akiibuka Mshindi kwenye category hiyo.
Kipengele hicho kilikuwa na wasanii Jux, Benpol, Damian sol na belle 9
1.       Jux ft  joh Makini - Looking for you
2.       Damian Sol ft joh Makini Ni - Penzi
3.       Belle9 ft Joh Makini - Vitamin Music
4.       Ben Pol ft Joh Makini - Unanichora

No comments

Powered by Blogger.