Image result for tigo banner

Picha: kinachoonekana katika ukarabati ndani ya uwanja wa Uhuru

Uwanja wa taifa wa zamani ambao kwa sasa unajulikana kama uwanja wa Uhuru au shamba la bibi, umefungwa kwa muda mrefu ili kupisha ukarabati wa uwanja huo, kwa muda mrefu uwanja wa Uhuru tumekuwa tukiona ukitumika kwa shughuli za kitaifa kama siku ya Uhuru na nyinginezo, bado mafundi wanaendelea na ukarabati.
DSC_0078
Huenda ukawa hujabahatika kupata nafasi ya kuona maendeleo ya uwanja huo kwa hizi siku za karibuni toka ufungwe, ripota wa millardayo.com nilipata nafasi ya kukupigia picha 29 za ukarabati ulipofikia. Kwa asilimia kubwa sehemu iliyofanyiwa matengenezo ni majukwaa ya mzunguuko ambayo awali yalikuwa na vyuma, na juu hayakuwa na paa.
DSC_0100
Hii ni sehemu ya VIP ambayo ipo kama ilivyokuwa awali
DSC_0154
Muonekano wa majukwaa ambayo kabla ya ukarabati yalikuwa na bomba za chuma kama jukwaa ila sasa wameboresha.
DSC_0156
Muonekano wake ukiwa katika ngazi za uwanja wa Taifa
DSC_0145
DSC_0144
DSC_0124
Hivi ni vyoo vya zamani lakini bado havijafanyiwa ukarabati ujenzi bado unaendelea
DSC_0125
Sehemu ya nyuma ya kuingilia katika jukwaa la VIP
DSC_0128
Muonekano wa majukwaa kwa nje nyuma
DSC_0142
Sehemu ya kuchezea ambayo bado ina nyasi bandia za awali
DSC_0110
Wasaidizi wa wachina katika ujenzi wa uwanja huo ambao bado wanaendelea na kufyatua tofali.
DSC_0099
Sehemu ya VIP pamoja na njia ya kuingilia magari na kutokea Uwanjani.
DSC_0091
Sehemu ambayo mafundi wanahifadhia vifaa vyao vya ujenzi
DSC_0085
DSC_0083
Fundi akisomba kokoto za kuchanganyia zege gari
DSC_0081
DSC_0080
DSC_0070
Hii ni njia ya kupitia magari
DSC_0078
DSC_0067
DSC_0050
DSC_0051
DSC_0053
DSC_0060
Sehemu inayoonekana kama mashimo ni ngazi za kutokea na kuingilia sehemu yalipo majukwaa.
DSC_0065
DSC_0045
DSC_0040
Ngazi za kuingilia katika majukwaa kwa nje
DSC_0038
Namna ya ngazi zilivyo lazima uzunguuke mara moja kabla ya kufika Jukwaani

DSC_0036Njia ya kutokea gar

No comments

Powered by Blogger.