Viwango vipya vya soka vya FIFA vimetangazwa March 3, Tanzania ipo nafasi hii
Kama ni mpenzi wa soka duniani basi list ya viwango vipya vya soka ulimwenguni imetangazwa leo March 3, FIFA imetangaza viwango hivyo vya FIFA na nchi ya Ubelgiji ambayo anacheza soka la kulipwa mtanzania Mbwana Samatta ipo nafasi ya kwanza ikufuatiwa na Argentina.
Post a Comment