Image result for tigo banner

Real Madrid ya Hispania baada ya kutwaa ubingwa wa kombe lao la 11 la UEFA walivyo pokewa katika Jiji la Madrid



Klabu ya usiku wa May 28 2016 kwa kuwafunga wapinzani wao Atletico Madrid katika mchezo wa fainali ulio pigwa katika jiji la Milan, Italia uwanja wa San Siro, ilikuwa ni fainali inayohusisha timu kutoka jiji moja la Madrid.
 
34BD773C00000578-3614796-image-a-77_1464506697932.
34BD6C1E00000578-3614796-image-a-45_1464504191608.


34BDC59D00000578-0-image-a-85_1464511821930
Real Madrid walifanikiwa kutwaa Kombe lao 11, huku Atletico wakiambulia kushindwa kuweka rekodi ya kutwaa Kombe hilo kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu yao, Real Madrid walifanikiwa kuifunga Atletico kwa mikwaju ya penati 5-3, hiyo ni baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya goli 1-1.

34BD605100000578-3614796-image-a-4_1464503170204

Real Madrid waliwasili Hispania katika jiji la Madrid wakiwa na Kombe lao la 11 la UEFA nakupokelewa na mashabiki wengi walio jitokeza kwa wingi katika jiji hilo la Madrid.

34BD6C4700000578-3614796-image-a-44_1464504148538.

34BD672500000578-3614796-image-a-9_1464503301070.

34BDAE9600000578-3614796-image-a-89_1464511870207.


34BD673D00000578-3614796-image-a-8_1464503271387.


34BD756B00000578-3614796-image-a-71_1464506198205.


34BD6C4C00000578-3614796-image-a-48_1464504236963


No comments

Powered by Blogger.