Image result for tigo banner

Picha | Guardiola alivyotambulishwa mbele ya mashabiki wa Manchester City na mikakati yake kuhusu Lionel Messi

Pep Guardiola ’45’ ametambulishwa rasmi kwa mashabiki wa klabu ya Manchester City kama kocha wao mpya. Guardiola mbele ya mashabiki 5,800 kwenye jukwa la shule ya mpira ya Man City Football Academy.
Pep Guardiola anaanza mazoezi na Man City Jumatatu ya July 4 2016,Guardiola pia ameongelea tetesi za kumsajili Lionel Messi  kutoka Barcelona nakusema “Hilo jambo haliko kabisa kwenye mipango yangu“
p 1 p 2 p 4 p 5

No comments

Powered by Blogger.