Pogba avunja ukimya wa mashabiki wa soka ,;;;;; kuelekea Manchester United
Paul Pogba ni jina linalo tikisa vyombo vya habari sana duniani kwa
wiki mbili sasa babada ya kuhusishwa kurudi kwenye klabu yake ya Zamani
Mancchester United. Kiungo huyo ananyatiwa na UTD kwa ada ya uhamisho wa pound
million 105.
Jose Mourinho ansubiri kumsaini kiungo huyo lakini dili lote
linakwamishwa na wakala wa kiungo huyo Mino Raiola.
Leo hii Pogba ametoa ukimya baada yak u sign t-shirt namba 6 ya shabiki
mmoja wa Manchester United huko Marekani. Pogba yupo marekani kwa mapumziko
baada ya kuisha mashindano ya Euro 2016.
“So this just happened! (Probably the
first United jersey he has signed since the impending transfer) Thanks
@paulpogba for making my 18th birthday a little more special! #manchesterunited
#mufc” ujumbe huu umeandikwa na shabiki huyo kwenye mtandao wa
Instagram.
Post a Comment