Wolves wamemteua Walter Zenga kuwa kocha wao mpya baada ya kumtimua kazi Kenny Jackett
Wolves wamemteua Walter Zenga kuwa kocha wao mpya baada ya
kumtimua kazi Kenny Jackett
Zenga ameichezea timu ya Intermilan
kwa mda wa miaka 16 kabla hajatimukia Marekani. Ameichezea timu yake ya taifa
ya Italia michezo 58. Zenga amekuwa kocha wa United Arab Emirates side
Al-Shaab.
Post a Comment