Mbwana Aly Samatta amekuwa gumzo Afrika.
Mbwana Aly Samata *SamaGoal* amekuwa mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanao cheza ndani Afrika. Samatta alikuwa mfugaji bora klabu bigwa Afrika na baada ya kuchukua ubingwa huo akiwa na klabu ya TP-Mazembe ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo. Baba yake akihojiwa na vyombo vya habari anadai alilia kwa mda wa sas zima,pia mama yake Mbwana alipata mshutuko baada ya kupata habari kuwa mwanae amekuwa mchezaji bora Afrika.
Mbwana Aly Samatta akiwa amelala na tu yake huku amejifunika bendera ya Taifa la Tanzanaia.
Pierre Aubomeyang mchezaji kutoka Gaboni na Dortmond ya Ujerumani amekuwa mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanao cheza nje ya Afrika. Gaboni hakika wamempa mapokezi ya kutosha hadi raisi wa nchi ameweka picha za mapokezi hayo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii.
Shaffih Dauda mchambuzi wa soka Tanzania akiwa na mchezaji bora wa Afrika. Juzi kabla ya tuzo hizo.
Baadhi ya vyombo vya habari Afrika vilimpa Samatta uraia wa Nchi nyingi sana. Ikiwepo DRC ya Congo. Hii ilidhihirisha kabisa kuwa Tanzania ilikuwa haitarajii kumpata mtu kama huyu.





Post a Comment