Picha: Weusi washoot video ya collabo na Chidinma, wamshirikisha pia rapper Khulichana wa SA
Weusi wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video za ngoma mpya.
Weusi wakiwa na msanii wa Nigeria Chidinma na muongozaji wa video, Justin Campos
Haijajulikana kama wameenda kwaajili ya mradi wa kundi ama ni kazi binafsi za Joh Makini lakini awamu hii wameenda wote, G-Nako na Nick wa Pili.
Weusi wakiwa na rapper wa Afrika Kusini, Khuli Chana
Joh alipost kwenye Instagram picha wakiwa na msanii wa Nigeria, Chidinma pamoja na muongozaji wa video, Justin Campos.
“Team work make the dream work @chidinmaekile @gorilla_films #justinecampos #Weusi #PerfectCombo #itsawrap #onTotheNextOne #MunguniMwema #GODENGINEERING,” aliandika Joh.
Pia alipost picha wakiwa na rapper nguli wa Afrika Kusini, Khulichana. “#WeusiMeetsKhuli @khulichana01 #YouKnowWhathappen..GET READY!!!!,” aliandika.
Kwenye picha nyingine akiwa na Khulichana, Joh aliandika, “#EastMeetsSouth JOHMAKINI X KHULI CHANA coming soon #2kings #wemakingmoves #GODENGINEERING.”
Hizo zitakuwa collabo zingine kuwa kwa Joh Makini baada ya Don’t Bother aliyomshirikisha AKA
Weusi wakiwa na msanii wa Nigeria Chidinma na muongozaji wa video, Justin Campos
Haijajulikana kama wameenda kwaajili ya mradi wa kundi ama ni kazi binafsi za Joh Makini lakini awamu hii wameenda wote, G-Nako na Nick wa Pili.
Weusi wakiwa na rapper wa Afrika Kusini, Khuli Chana
Joh alipost kwenye Instagram picha wakiwa na msanii wa Nigeria, Chidinma pamoja na muongozaji wa video, Justin Campos.
“Team work make the dream work @chidinmaekile @gorilla_films #justinecampos #Weusi #PerfectCombo #itsawrap #onTotheNextOne #MunguniMwema #GODENGINEERING,” aliandika Joh.
Pia alipost picha wakiwa na rapper nguli wa Afrika Kusini, Khulichana. “#WeusiMeetsKhuli @khulichana01 #YouKnowWhathappen..GET READY!!!!,” aliandika.
Kwenye picha nyingine akiwa na Khulichana, Joh aliandika, “#EastMeetsSouth JOHMAKINI X KHULI CHANA coming soon #2kings #wemakingmoves #GODENGINEERING.”
Hizo zitakuwa collabo zingine kuwa kwa Joh Makini baada ya Don’t Bother aliyomshirikisha AKA
Post a Comment